Ufunuo 18:20
Print
Ufurahi kwa sababu ya hili, Ee mbingu! Furahini, watakatifu wa Mungu, mitume na manabii! Mungu amemhukumu kwa sababu ya kile alichowatendea ninyi.”
Fura hini juu yake, enyi mbingu, watakatifu na mitume na manabii; Kwa kuwa Mungu ameuhukumu kwa ajili yenu!”’
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU) © 2017 Bible League International; Neno: Bibilia Takatifu (SNT) Copyright © 1989 by Biblica