Font Size
Ufunuo 18:23
Mwanga wa taa hautang'aa ndani yako tena. Sauti za maarusi hazitasikika ndani yako tena. Wafanyabiashara wako walikuwa watu wakuu wa ulimwengu. Mataifa yote yalidanganyika kwa uchawi wako.
Na nuru ya taa haitaangaza ndani yako tena; Wala sauti ya bwana harusi na bibi harusi haitasikiwa ndani yako kamwe. Maana wafanya biashara wako walikuwa watu maarufu wa duniani, na mataifa yote yalidanganyika kwa uchawi wako.
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU) © 2017 Bible League International; Neno: Bibilia Takatifu (SNT) Copyright © 1989 by Biblica