Na wote walimwimbia wimbo mpya Mwanakondoo: “Unastahili kukichukua kitabu na kuifungua mihuri yake, kwa sababu uliuawa, na kwa sadaka ya damu yako uliwanunua watu kwa ajili ya Mungu, kutoka kila kabila, lugha, rangi na taifa.
Nao wakaimba wimbo mpya: “Wewe unastahili kuichukua hati na kuifungua mihuri yake. Kwa sababu wewe uliuawa na kwa damu yako ukamnunulia Mungu watu kutoka katika kila kabila na kila lugha; watu wa kila jamaa na kila taifa.