Ufunuo 6:14
Print
Anga iligawanyika katikati na pande zote zikajiviringa kama kitabu. Na kila mlima na kisiwa kiliondolewa mahali pake.
Anga ikatoweka kama vile karatasi inav yosokotwa; na kila mlima na kila kisiwa vikaondolewa mahali pake.
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU) © 2017 Bible League International; Neno: Bibilia Takatifu (SNT) Copyright © 1989 by Biblica