Warumi 3:13
Print
“Maneno yao ni ya hatari kama kaburi lililo wazi. Wanatumia ndimi zao kwa kusema uongo.” “Maneno yao ni kama sumu ya nyoka.”
Makoo yao ni kama makaburi wazi, wanatumia ndimi zao kudanganya. Kwenye midomo yao mnasumu kama ya nyoka.
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU) © 2017 Bible League International; Neno: Bibilia Takatifu (SNT) Copyright © 1989 by Biblica