Alituokoa kwa sababu yeye ni mwenye rehema, siyo kwa sababu ya matendo ya haki tuliyotenda na kupata kibali chake, bali ni kwa rehema yake. Yeye aliziosha dhambi zetu, akatupa maisha mapya kwa njia ya Roho Mtakatifu. Ikawa kama kuzaliwa kwa mara ya pili.
ali tuokoa, si kwa sababu ya matendo mema ya haki tuliyotenda, bali kwa sababu ya huruma yake. Alituokoa kwa kuoshwa na kuzaliwa mara ya pili na kufanywa wapya kwa njia ya Roho Mtakatifu,