Ufunuo 19:8
Print
Nguo ya kitani safi ilitolewa kwa bibi arusi ili avae. Kitani ilikuwa safi na angavu.” (Kitani safi inamaanisha mambo mazuri ambayo watakatifu wa Mungu waliyatenda.)
Alipewa kitani safi nyeupe inayong’aa ili avae.” Hiyo kitani safi ni matendo ya haki ya watakatifu.
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU) © 2017 Bible League International; Neno: Bibilia Takatifu (SNT) Copyright © 1989 by Biblica